uzeebusara
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 657
- 514
Shukrani MkuuAndaa Board resolution, andika kichwa cha habari kinachoonesha Nina yenu, then kwa chini orodhesha majina ya directors kila mtu na sahihi yake, then usisahau witnessed by. Kwa maana ya mwanasheria.
Hawa wanaaheria Wa siku hzi hamna Kitu kabisa........kuna mmoja nilimpelekea akaniandalie mkataba ila mwisho Wa siku ilikua kama ni Mimi nilioutengeneza yeye aliishia kutia tu saini na mhuri wake.....sijui twaenda wapiShukrani Mkuu
Kwani barua ya awali iligonga mwamba nikaonyeshwa mwanasheriq mmoja pale pale Brela lakini hata nae alichoandika ni kituko tu
Nikaona nije jukwaa la manguli wa sheria tuone tutalitatua vipi hili. Ntaleta mrejesho
Hahahaaa hata kigooogle hawezi.Hawa wanaaheria Wa siku hzi hamna Kitu kabisa........kuna mmoja nilimpelekea akaniandalie mkataba ila mwisho Wa siku ilikua kama ni Mimi nilioutengeneza yeye aliishia kutia tu saini na mhuri wake.....sijui twaenda wapi
Google ndo kila kituMimi google imenisaidia sana kuandaa mikataba, field reports, project reports,
Poa ntafanya hivyo, sikuingia kitambouzeebusara waweza weka hata sample ya hiyo barua hapa?
Acha dharau ww r u sure ulimpelekea mwanasheria?? Hlafu nikushaur kitu alteration of company name linautaratibu wake so u have to seek the service of solicitor waliokalibu na wwHawa wanaaheria Wa siku hzi hamna Kitu kabisa........kuna mmoja nilimpelekea akaniandalie mkataba ila mwisho Wa siku ilikua kama ni Mimi nilioutengeneza yeye aliishia kutia tu saini na mhuri wake.....sijui twaenda wapi
Why do you have to question me about the surity of consulting the real lawyer.......na wewe kama ni mwanasheria kazi IPO!!!!!!!!! Huu mwandiko wako kwanza unatia walakini. Am sorry in advanceAcha dharau ww r u sure ulimpelekea mwanasheria?? Hlafu nikushaur kitu alteration of company name linautaratibu wake so u have to seek the service of solicitor waliokalibu na ww
Kwa sababu ya kaul yko ya ajabu et hawa wanasheria siku hz hakun kitu,,,ww km umeomb msaad kuwa mpole usaidiwe lakn hzo co kaul ,wanasheria wanaheshim ykeee huend ulitak bei cheeee ndo maan alikuzingua sababu unachouliz company Act iko waz kabisaa sidhan km alishindw kukusaidia sema bei zetu hz za kulia kulia , hahaahahaaahahahah poyeeeeWhy do you have to question me about the surity of consulting the real lawyer.......na wewe kama ni mwanasheria kazi IPO!!!!!!!!! Huu mwandiko wako kwanza unatia walakini. Am sorry in advance
Ila Mimi mwandiko wako tu.........Kwa sababu ya kaul yko ya ajabu et hawa wanasheria siku hz hakun kitu,,,ww km umeomb msaad kuwa mpole usaidiwe lakn hzo co kaul ,wanasheria wanaheshim ykeee huend ulitak bei cheeee ndo maan alikuzingua sababu unachouliz company Act iko waz kabisaa sidhan km alishindw kukusaidia sema bei zetu hz za kulia kulia , hahaahahaaahahahah poyeeee
Ujumbe umefikIla Mimi mwandiko wako tu.........