Msaada wa kuanzisha biashara ya kuuza luku na huduma nyingine

Msaada wa kuanzisha biashara ya kuuza luku na huduma nyingine

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
434
Nataka nifanye biashara ya kuuza luku na huduma nyingine.

Naombeni ushauri, nitumie kampuni gani ambayo ni nzuri kwa kila jambo hususani commission na bei ya kununulia.

1.Pay point
2.Selcom
3.Maxmalipo nk
 
Back
Top Bottom