OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
Nataka nifanye biashara ya kuuza luku na huduma nyingine.
Naombeni ushauri, nitumie kampuni gani ambayo ni nzuri kwa kila jambo hususani commission na bei ya kununulia.
1.Pay point
2.Selcom
3.Maxmalipo nk
Naombeni ushauri, nitumie kampuni gani ambayo ni nzuri kwa kila jambo hususani commission na bei ya kununulia.
1.Pay point
2.Selcom
3.Maxmalipo nk