G gkubwa Member Joined Apr 3, 2012 Posts 70 Reaction score 6 Dec 27, 2013 #1 jaman wanajamvi ninamtaji wa shil..milioni 2 je naweza kufanya biashara gani nzuri yenye faida kwa sengerema
jaman wanajamvi ninamtaji wa shil..milioni 2 je naweza kufanya biashara gani nzuri yenye faida kwa sengerema
Tutor B JF-Expert Member Joined Jun 11, 2011 Posts 9,025 Reaction score 6,598 Dec 27, 2013 #2 gkubwa said: jaman wanajamvi ninamtaji wa shil..milioni 2 je naweza kufanya biashara gani nzuri yenye faida kwa sengerema Click to expand... nunua pikipiki uanze kuzungusha kwa siku hukosi 20,000/=
gkubwa said: jaman wanajamvi ninamtaji wa shil..milioni 2 je naweza kufanya biashara gani nzuri yenye faida kwa sengerema Click to expand... nunua pikipiki uanze kuzungusha kwa siku hukosi 20,000/=
D Daniel poul Member Joined May 30, 2012 Posts 65 Reaction score 17 Dec 28, 2013 #3 Nimegundua Jf msaada ukiomba wakufanya biashara unaweza ukakata tamaa mpaka ukaamua pesa yako ukaitie kiberiti tu ...embu nenda vijiweni kwa wajasiliamali wadogo wadogo usikie ushauri wao humu ndani utapagawishwa tu؟
Nimegundua Jf msaada ukiomba wakufanya biashara unaweza ukakata tamaa mpaka ukaamua pesa yako ukaitie kiberiti tu ...embu nenda vijiweni kwa wajasiliamali wadogo wadogo usikie ushauri wao humu ndani utapagawishwa tu؟