Msaada wa kuanzisha biashara

gkubwa

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
70
Reaction score
6
jaman wanajamvi ninamtaji wa shil..milioni 2 je naweza kufanya biashara gani nzuri yenye faida kwa sengerema
 
jaman wanajamvi ninamtaji wa shil..milioni 2 je naweza kufanya biashara gani nzuri yenye faida kwa sengerema

nunua pikipiki uanze kuzungusha kwa siku hukosi 20,000/=
 
Nimegundua Jf msaada ukiomba wakufanya biashara unaweza ukakata tamaa mpaka ukaamua pesa yako ukaitie kiberiti tu ...embu nenda vijiweni kwa wajasiliamali wadogo wadogo usikie ushauri wao humu ndani utapagawishwa tu؟
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…