Saidy Januzaj
Member
- Apr 13, 2014
- 69
- 10
ndugu wajuzi wa fedha za kigeni naomba mnijulishe dola moja ya marekani ni shilingi ngapi kwa tz?...na hii us $179.56 ukiibadili kwa fedha za kigeni utapata shilingi ngapi za tanzania?????naombeni mnifafanulie vizuri wataalam