msaada wa kubadili fedha za marekani

Saidy Januzaj

Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
69
Reaction score
10
ndugu wajuzi wa fedha za kigeni naomba mnijulishe dola moja ya marekani ni shilingi ngapi kwa tz?...na hii us $179.56 ukiibadili kwa fedha za kigeni utapata shilingi ngapi za tanzania?????naombeni mnifafanulie vizuri wataalam
 
Google inavyosema dola 1=1634

kwahiyo dola 179.56=293,401

ila sijui kwa bei za maduka ya mitaani itakwaje
 
ndugu wajuzi wa fedha za kigeni naomba mnijulishe dola moja ya marekani ni shilingi ngapi kwa tz?...na hii us $179.56 ukiibadili kwa fedha za kigeni utapata shilingi ngapi za tanzania?????naombeni mnifafanulie vizuri wataalam

Mkuu hiyo kitu inabadilika siku hadi siku kutokana na soko lilivyo.
Ila kwa sasa USD 1 nisawa na takribani kati ya TZS 1625 hadi TZS 1635.
Nafikiri hiyo itasaidia kujua hiyopesa yakoni kiasi gani kwa pesa za kitanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…