Ndugu wana Jamvi mie mwanafunz muda wa kwenda benk ninakosa ratiba ngumu cna kwangu. Nipo sehemu ambapo kuna NMB, CRDB, NBC na Benki ya Posta tu. Je ni benki ipi kati ya hizi naweza kuchange Indian Rupees to Tanzanian Shillings? Na Rupee 1 ni Shilingi ngapi?
Please! Don't ignore my request!