nakushauri uwahi chuoni chuoni maybe unaweza .fanikisha ila usimsahau mungu wakati ukiendelea kuprocess maana atakusaidia .Jaribu mkuu usikatishwe tamaa
Microbiology and biotechnology?? Hii koz haipo sua!! Labda kama ulomaanisha lab sciences and biotechnology!!!
Nnavojua kwenye ile wik ya kwanza na pili ndio unaweza fanya huo mchakato cha msing uwe na vigezo...