msaada wa kuchakachua moderm ya zain

msaada wa kuchakachua moderm ya zain

mickytop46

Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
39
Reaction score
6
wakuu naomba msaada wa namna ya kuchakachua moderm ya zain process ya kwanza hadi ya mwisho.
 
yaan unapewa mb 400 kwa 2500 bdo unataka kuwachakachua? Tuwe hata na moyo wa shukran jamn! 2nawachakachua wanao2chakachua!
 
@gadoneya to hell with intellectual property rights...vinachakachuliwa kwa kwenda mbele 2,ila namshaur abak na hao hao airtel cuz bei poa na spid nzur...
 
Back
Top Bottom