Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,118
Mtanzania mwenzetu abuni umeme utokanao au kwa kutumia sumaku?
sijaelewa kama njia hiyo kwani haikuwepo? na je hakuna kabisa chanzo kingine cha energy kama mafuta, upepo , au hata solar ya kuizungusha hiyo sumaku ili itoe umeme? yaani ni sumaku tu ndio chanzo pekee?