Msaada wa kufahamu au kupata elimu juu ya swala zima la uwekezaji kwenye hizi Saccos

Msaada wa kufahamu au kupata elimu juu ya swala zima la uwekezaji kwenye hizi Saccos

jamie sam

Member
Joined
Apr 13, 2018
Posts
13
Reaction score
12
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 26 najishugulisha na Maswala ya IT zaidi, naningependa kufahamu au kupata elimu juu ya swala zima la uwekezaji kwenye hizi Saccos zetu hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom