Msaada wa Kufahamu kanuni za mkataba

kabhakulu.com

Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
70
Reaction score
8
Jamani ni haki ukiwa ulishasign mkataba na chuo tokea mwaka wa kwanza inaruhusiwa kwa cho kupandisha ada kwa kila muhula??? Naombeni mnaofahamu sheria na kanuni za mkataba mnielezee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…