K kabhakulu.com Member Joined Apr 17, 2013 Posts 70 Reaction score 8 May 7, 2013 #1 Jamani ni haki ukiwa ulishasign mkataba na chuo tokea mwaka wa kwanza inaruhusiwa kwa cho kupandisha ada kwa kila muhula??? Naombeni mnaofahamu sheria na kanuni za mkataba mnielezee.
Jamani ni haki ukiwa ulishasign mkataba na chuo tokea mwaka wa kwanza inaruhusiwa kwa cho kupandisha ada kwa kila muhula??? Naombeni mnaofahamu sheria na kanuni za mkataba mnielezee.