Ngamba
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 750
- 151
napenda kuomba msaada kwa wanajasirimali wote, nataka kuaanza mradi mdogo wa kufuga kuku wa kienyeji watano(5) majike with in mind kuupanua pale jinsi ntakapokuwa nimepata experience ya kutosha
i want to put into practise the compaunding effect prinnciple
naoembeni msaada wenu jinsi ninavyoweza anza na nianze na aina ipi ya kuku, malisho, nyumba na vinginevyo
thanks
i want to put into practise the compaunding effect prinnciple
naoembeni msaada wenu jinsi ninavyoweza anza na nianze na aina ipi ya kuku, malisho, nyumba na vinginevyo
thanks