Msaada wa kufuga kuku wa kienyeji

Msaada wa kufuga kuku wa kienyeji

Ngamba

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2013
Posts
750
Reaction score
151
napenda kuomba msaada kwa wanajasirimali wote, nataka kuaanza mradi mdogo wa kufuga kuku wa kienyeji watano(5) majike with in mind kuupanua pale jinsi ntakapokuwa nimepata experience ya kutosha
i want to put into practise the compaunding effect prinnciple

naoembeni msaada wenu jinsi ninavyoweza anza na nianze na aina ipi ya kuku, malisho, nyumba na vinginevyo

thanks
 
napenda kuomba msaada kwa wanajasirimali wote, nataka kuaanza mradi mdogo wa kufuga kuku wa kienyeji watano(5) majike with in mind kuupanua pale jinsi ntakapokuwa nimepata experience ya kutosha
i want to put into practise the compaunding effect prinnciple

naoembeni msaada wenu jinsi ninavyoweza anza na nianze na aina ipi ya kuku, malisho, nyumba na vinginevyo

thanks
Fatilia vizuri humu J.f watu wametoa elimu ya kutosha kuhusu ufugaji,utachoka mwenyewe kuzisoma.
 
Maapolomoko kwa sasa niko Entebbe, Uganda ila napenda sana kuanza ka ufugaji kadogo hapa nilipo
 
Back
Top Bottom