Msaada wa kufungua maabara

magai majigo

Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
76
Reaction score
27
Naombeni kujuzwa jinsi ya kufungua maabara kwa ajili ya kupima malaria, mkojo, na haja kubwa.
Pia naomba kujua gharama za vifaa vinavyohusika na mtaji wote kwa ujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…