WanaJF kuna mdogo wangu amemaliza form four sasa kipindi hiki anasubiri matokeo niliona ni bora akapige short course pale UCC ila sijajua ni course gani nzuri amabayo itamsaidia maishani kwake, msingi wa computer anajua i.e kutumia appliactions, kurun program!!!!!NAOMBA KUJUZWA NI SHORT COURSE GANI NZURI