Vitendo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 582
- 103
Ndugu wanaJF ninaomba msaada wa kisheria ili kufungua kesi ambayo nalenga washitakiwa kuwa ni wafuatao.
1)IKULU.
Rais wa Tanzania aliishahuri wibaya wizara ya elimu kuondoa mtihani wa kidato cha pili na hiyo imetajwa kuwa ni moja ya sababu ya ufaulu kushuka kwa 22%.
2)Wizara ya Elimu
Kushindwa kusimamia elimu.
3)Ofisi ya waziri Mkuu,tawala za mikoa na serikali za mitaa ..hawa wanawajibu katika shule leo hii tunazoziita za KATA.
ukiangalia matokeo yanatia huzuni na huruma pia.
DARAJA I WANAFUNZI 5363
DARAJA II WANAFUNZI 9942
DARAJA III WANAFUNZI 25083
DARAJA IV WANAFUNZI 136,633
DARAJA 0 WANAFUNZI 174,193
Mimi naamini serikali na vyombo vyake walikuwa/wana uwezo wa kudhibiti maafa haya ila kwa makusudi kabisa wameacha yametokea.
Hivyo basi yeyote aliyeko tayari kunipa msaada wa kufungua kesi hii naomba tuanze mchakato mara mmoja maana hii ni kuharibu mustakabari wa taifa letu.
asante.
1)IKULU.
Rais wa Tanzania aliishahuri wibaya wizara ya elimu kuondoa mtihani wa kidato cha pili na hiyo imetajwa kuwa ni moja ya sababu ya ufaulu kushuka kwa 22%.
2)Wizara ya Elimu
Kushindwa kusimamia elimu.
3)Ofisi ya waziri Mkuu,tawala za mikoa na serikali za mitaa ..hawa wanawajibu katika shule leo hii tunazoziita za KATA.
ukiangalia matokeo yanatia huzuni na huruma pia.
DARAJA I WANAFUNZI 5363
DARAJA II WANAFUNZI 9942
DARAJA III WANAFUNZI 25083
DARAJA IV WANAFUNZI 136,633
DARAJA 0 WANAFUNZI 174,193
Mimi naamini serikali na vyombo vyake walikuwa/wana uwezo wa kudhibiti maafa haya ila kwa makusudi kabisa wameacha yametokea.
Hivyo basi yeyote aliyeko tayari kunipa msaada wa kufungua kesi hii naomba tuanze mchakato mara mmoja maana hii ni kuharibu mustakabari wa taifa letu.
asante.