Mkuu hii habari ungeni PM mimi tu hapa.. Ila una mtaji kiasi gani?
Mkuu hii habari ungeni PM mimi tu hapa.. Ila una mtaji kiasi gani?
mkuu hii habari ungeni pm mimi tu hapa.. Ila una mtaji kiasi gani?
nenda ofisini kwao sehemu ulipo kama wapo nadhani dar ni kariakoo watakupa maelezo na mashine na vipeperushi ni bure nadhani commission ni 7 percent kwa kila bet. Mimi niliulizia tu ila sikutaka kufanya hii biashara sababu inaua wengi na ina madhara makubwa ni kama kushiriki kuuza addiction na kuvunja familia za watu