Msaada wa kujua sehemu wanapouza kuku wa kisasa wa mayai Jijini Dodoma

Msaada wa kujua sehemu wanapouza kuku wa kisasa wa mayai Jijini Dodoma

Yohana469

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2021
Posts
302
Reaction score
450
Wadau habarini,

Msaada kwa mtu anaeishi jijini Dodoma na anajishughulisha na uuzaji wa kuku wa kisasa wa mayai wanaotaga mwezi kwa mwezi ,kama yupo tuwasiliane tafadhali nahitaji hio bidhaa.
 
Back
Top Bottom