Msaada wa kujuzwa juu hili wandugu requirement ya kujiunga na chuo kikuu

nkowosi

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
568
Reaction score
637
nimemaliza diploma mwaka huu nimeapply vyuo kadhaa mpaka mda huu sijapata majib bado profile yangu inaonesha checking in progress baada ya kuuliza nikaambiwa et one among liquirements ya kujiunga elim ya juu ni kuwa na pass 5 za o level na mm ninazo 3 kuna ukwel juu ya hilo wakuu tafadhalini.
 
Hivyo vyuo ulivyoomba havikutoa entry qualifications? Au hukuzielewa? Au uliombaje bila kujua km una hizo minimum requirements?
 

kwa vyuo vya serikar na sawa ila private hadi c 1 na d 3 wanachukua
uzoefu-dogo alpata credt 1 akarct akakosa akaenda ug kusoma 5-6 kaaply kapata st.agustino coo inategemea na chuo ila c hzo kwa private znatosha
 
Yaah o level 5 tena mwaka huu kuna competition kulikuwa na competition kubwa sana vyuo vingine had credit 6 kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…