Msaada wa kumjua faru John.

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Habari za wakati huu great thinkers..kama ambavyo kichwa cha habar kinajieleza hapo juu..nimekuwa nikisia sikia maneno mengi watu wakimuongelea faru John.huyu faru John ni nani?nini kilimkuta??na kwanini aongelewe yeye tu??ana umuhimu gani??naomba kuwasilisha
 
hahah.....mpigie simu pm.huna namb akee akupe brief story?
 

Njoo nyumbani tudiskasi hii issue.......hata mimi inanichanganya sana........where is our johnny......
johnny ooooooo johnny eeeeeeeeeh........
 
Njoo nyumbani tudiskasi hii issue.......hata mimi inanichanganya sana........where is our johnny......
johnny ooooooo johnny eeeeeeeeeh........
I wish I could be the one invited for this discussion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…