MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 355
Wakuu habari. Naomba anayefahamu anakopatikana specialist wa matatizo ya wanawake hasa ya uzazi (gynaecologist) anisaidie. Itakuwa vizuri zaidi akiwa hapa Dar. Msaada wenu wakuu wife anataabika! Unaweza kuweka hapa au PM.