Msaada wa kumpata gynaecologist hapa Dar

MWENDAKULIMA

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2009
Posts
951
Reaction score
355
Wakuu habari. Naomba anayefahamu anakopatikana specialist wa matatizo ya wanawake hasa ya uzazi (gynaecologist) anisaidie. Itakuwa vizuri zaidi akiwa hapa Dar. Msaada wenu wakuu wife anataabika! Unaweza kuweka hapa au PM.
 
Zunguka kote watakakokuambia. Madaktari wapo Muhimbili. Kwishney. Nenda fast track kama unataka huduma ya haraka waambie unataka nini.
 
Yupo Daktari wa Muhimbili ambaye akiona tatizo zaidi anakuandikia kinote mnakutana pale Muhimbili, hospitali yake iko karibia na junction ya kwenda Masaki kama unaelekea Mwenge ni upande wa kushoto sikumbuki panaitwaje. Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…