Msaada wa kumpata mheshimiwa mbunge vick kamatha

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Naomba msaada wa kumpata kiurahis zaid mheshimiwa mbunge wa viti maalum kupitia ccm vick kamata kama kuna mtu anapajua kwake au nyumban kwake naomba anambia, kama utakuwa na namba yake nitumie pm naomben sana jaman muweze kunisaidia kuhusu hilo

Au hata kama wewe mama yangu mheshimiwa utapata ujumbe huu naomba nitafute au nifate pm nakuomba sana

LONDON BABY
 
Kama n mmama bhas

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
kipi hicho


Kwasababu kama unataka kukutana na mtu mwenye nafasi ya Kamatha kuna njia flani za kufuata mpaka unakutana nae. Sio watu wakuelekeze anapoishi tu, unataka kufanya nini, kwenda kubisha hodi? Huo si uchizi!
 
Kwasababu kama unataka kukutana na mtu mwenye nafasi ya Kamatha kuna njia flani za kufuata mpaka unakutana nae. Sio watu wakuelekeze anapoishi tu, unataka kufanya nini, kwenda kubisha hodi? Huo si uchizi!
aiseeh basi afuate taratibu
 
Kwasababu kama unataka kukutana na mtu mwenye nafasi ya Kamatha kuna njia flani za kufuata mpaka unakutana nae. Sio watu wakuelekeze anapoishi tu, unataka kufanya nini, kwenda kubisha hodi? Huo si uchizi!
Matus ya nini yote hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…