kipi hichoKuna kitu hakiko sawa
kipi hicho
aiseeh basi afuate taratibuKwasababu kama unataka kukutana na mtu mwenye nafasi ya Kamatha kuna njia flani za kufuata mpaka unakutana nae. Sio watu wakuelekeze anapoishi tu, unataka kufanya nini, kwenda kubisha hodi? Huo si uchizi!
Ume manisha niniKama n mmama bhas
[Color= yellow]Triple A[/color]
Nipatie mkuu ninashida naye sanaNikupatie namba ya Dr likwelile? Ukimpata hiyo lazima utampata huyo muheshimiwa
Matus ya nini yote hayoKwasababu kama unataka kukutana na mtu mwenye nafasi ya Kamatha kuna njia flani za kufuata mpaka unakutana nae. Sio watu wakuelekeze anapoishi tu, unataka kufanya nini, kwenda kubisha hodi? Huo si uchizi!
Sawa najua kaolewa sasa nitampataje mkuuNi mke wa mtu mkuu uwende kwa heshima
Mkuu hii kitu ni kweli au zunga0654586794 ,ukimpata TOA USHUHUDA
SISTA WANGU ALIKUWA DANCER WAKE KIPINDI ANAIMBA