Msaada wa kumpata wakili/mwanasheria ili nifungue kesi.

Msaada wa kumpata wakili/mwanasheria ili nifungue kesi.

emkey

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
728
Reaction score
137
Habari.
Nimedhamiria kufungua kesi kuishitaki taasisi ya mikopo ya faidika kwa kufoji mwandiko wangu na kunikata makato makubwa zaidi ya kiwango tulichokubaliana. Kwa sasa sina fedha ya kuendesha kesi, lakin tukishinda fidia ndo tutakata. 0714408238.
 
Back
Top Bottom