wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,930
- 3,305
hellow g.t...jaman tumekuwa tukiomba jukwaa la urembo bila mafanikio, sasa nisaidieni hapa hapa...SHEMEJI/WIFI YENU KANIOMBA NIMPELEKEE CREAM NA LOTION NA SABUNI....But viwe ni vile vinavyofanya ngozi(uso)uwe laiiini na nyororo, na ng'aavu (SIO KUCHUBUA NGOZI), Nisaidieni kunitajia hapa wapendwa and i think itakuwa msaada hata kwa wengine...karibun mjuao.