Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Anaitwa NASSORO IDDY IGALAWA ni dereva amepatwa na umauti leo maeneo ya mbangamawe alikuwa na gari NOAH amby bado haijasajiliwa lakini documents zinaonyesha alikuwa anapeleka gari msumbiji.
Mwili upo hospital ya mkoa ruvuma (HOMSO) mpaka sasa hivi hatujapata mawasiliano ya ndugu kwasababu marehemu ameletwa hana simu.
Tunaomba tusaidiane kusambaza hii taarifa.
Namba ya hospital +255737683544
Mwili upo hospital ya mkoa ruvuma (HOMSO) mpaka sasa hivi hatujapata mawasiliano ya ndugu kwasababu marehemu ameletwa hana simu.
Tunaomba tusaidiane kusambaza hii taarifa.
Namba ya hospital +255737683544