MONEY IS NOT EVERYTHING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 424
- 765
Wakuu poleni na majukumu..msaada wa kumuangamiza huyu "Candidas Auris" amekuwa akimsumbua mke wangu yapata miaka mitatu sasa tangu ajifungue kwa kisu...anatibiwa anaonekana kupona lakini baadaye analudia hali ile ile.
Je, huyu "Candidas Auris"anatibika na kama anatibika mbona hafi? msaada madaktari mchango wenu ni muhimu sana.
Je, huyu "Candidas Auris"anatibika na kama anatibika mbona hafi? msaada madaktari mchango wenu ni muhimu sana.