Black Opal
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 233
- 298
Nenda jukwaa husika mkuu, huku sio kwakoTupo kwenye mchakato wa kutoa maoni kuhusu bandari
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu mkuu mkuuuuuuu mbna hunipi jibuNenda jukwaa husika mkuu, huku sio kwako
Kwahiyo Mkuu unataka kunyakua ua langu hivi hivi?Mkuu mkuu mkuuuuuuu mbna hunipi jibu
Nipe namba yake nimpe darasa wiki tu inatosha yeye kuwa pambe afu gharama ya kawaida sana ๐Wakuu,
Kichwa kinajieleza. Wamakonde wanasika kwa haya mambo, sasa namtafutia manzi wangu kungwi wa uhakika aongeze ujuzi.
Mambo ya jando na unyago yapo kwenye makabila machache sana ikiwepo hawa wamakonde nadhani, sasa wenye tuna wapenzi hawana hizo mambo tunakosa vitu, natamani huyu mwenzangu apate vikolombwezo tunogeshe mapenzi, lakini sijui pa kuanzia wakuu.
Msaada kwa anayejua ninakoweza fanikisha hili, gharama iwe ya kitanzania tafadhali.
Wa Cuba washaelewa๐Wewe hivyo vikolombwezo uliviona wapi? ๐๐๐
Mkuu naomba konekshen kama unayoutakuja kufa huku umeachama kwa uasherati na uzinzi.. bullkit
Panda basi ufike mtwara hapo utakutana nao wa kutosha tu mkuu, ukimwi unaua.Mkuu naomba konekshen kama unayo
Wa Cuba washaelewa๐
Vizuri akifundishwa na mtoto wa kike mwenzake wataelewana, akija kwangu show zinasimamaMfundishe kama unavijuaโฆ mnafanya trial and errors hadi aweze kugraduate.
All the bestโฆ