Msinisahau Nyakanga[emoji1787]
Kwani ni kosa kutafuta ujuzi Mkuu, maisha sio kuhusu bandari tu, relaxWe have plenty Dick heads in Tanzania.
Have you married her?
It's a shame and pathetic.
Ahhh jamani mimi nivione kwao vyanini tena, mambo yote wanamalizana na bibie, mi nahakikisha wawezesha tu wampike vizuri
Bandari na nilicho kiandika vinahusiana nini?Kwani ni kosa kutafuta ujuzi Mkuu, maisha sio kuhusu bandari tu, relax
Acha mawazo mgando Mkuu, kila mtu anaweza kufundishika mwanamke au mwanaume, na kila siku tunapokea maarifa mapyaBandari na nilicho kiandika vinahusiana nini?
Huwezi mfundisha mtoto wa kike kitu kama walishindwa Baba na Mama yake hakuna kitu utabadilisha kutoka kwake.
Yote kwa yote, uzi ulikua kwa ajili ya refreshment na watu washapata tayari.