Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuwaje tena mkuu?Kwahiyo ukaona Unitapeli hiyo elfu 12.. Ndiyo mana vijana hamfanikiwi kwakukosa uaminifu kwenye vitu vidogo vidogo..
Jamaa nilimpigia simu tukapeana maelekezo then akaniambia gharama ni elfu 12.. Nimtumie ili aweze kupata data za kudownload file/softwareImekuwaje tena mkuu?
Shida mkuuJamaa nilimpigia simu tukapeana maelekezo then akaniambia gharama ni elfu 12.. Nimtumie ili aweze kupata data za kudownload file/software
Nilipomtumia badala aseme amepata.. Ikawa mpaka nimpigie Mimi.
Nikampigia akasema amepata.. Akaniomba nimtumie picha ya details ya nyuma ya MiFi whatsapp.
Nilipomtumia tu.. Simu ikawa haipatikani tena na wala ile picha haionekani kama ilifika kwake (blue tick)
Na huku jamii forum gafla account yake haionekani kama ipo.. Yaani kama kajitoa..
Kazi haiwezi ilikuwa ni njaa tu..😂😂😂Jamaa nilimpigia simu tukapeana maelekezo then akaniambia gharama ni elfu 12.. Nimtumie ili aweze kupata data za kudownload file/software
Nilipomtumia badala aseme amepata.. Ikawa mpaka nimpigie Mimi.
Nikampigia akasema amepata.. Akaniomba nimtumie picha ya details ya nyuma ya MiFi whatsapp.
Nilipomtumia tu.. Simu ikawa haipatikani tena na wala ile picha haionekani kama ilifika kwake (blue tick)
Na huku jamii forum gafla account yake haionekani kama ipo.. Yaani kama kajitoa..
Shangaa!!Shida mkuu
Yaani 12k tu ndiyo inafanya vijana wanakosa uaminifu namna hiyo
mwingine huyu hapa😂😂😂Njoo dm
Watanzania baadhi wanafanya wengine wasiaminike kabjsaShangaa!!
Kuna mwamba humu humu kwenye majukwaa ya jamii forum hakuwa na tamaa yeye alifanya kazi nikaja kumlipa baada ya kazi.. Tena ilikuwa router ya 5G
Uaminifu alioufanya na kuniamini nilimlipa zaidi.
Mpaka leo Yule jamaa amekuwa MTU wangu wa nguvu.. Siyo hizi takataka zenye njaa za k***ge
Tapeli jingine hiliNjoo dm
biashara ya kufanya na mbongo bila kuonana ...changamoto sanaWatanzania baadhi wanafanya wengine wasiaminike kabjsa
Sasa huyu hiyo 12k itamfikisha wapi? Na pennine alishatumia na sasa hata jf anaingia kama mwizi
Asante.. ni hilo dogo hapo juu lililotoa namba.. linajiita ''Website design''Pole sana
Pole sana. Tamaa mwisho wake huwa mbaya.Jamaa nilimpigia simu tukapeana maelekezo then akaniambia gharama ni elfu 12.. Nimtumie ili aweze kupata data za kudownload file/software
Nilipomtumia badala aseme amepata.. Ikawa mpaka nimpigie Mimi.
Nikampigia akasema amepata.. Akaniomba nimtumie picha ya details ya nyuma ya MiFi whatsapp.
Nilipomtumia tu.. Simu ikawa haipatikani tena na wala ile picha haionekani kama ilifika kwake (blue tick)
Na huku jamii forum gafla account yake haionekani kama ipo.. Yaani kama kajitoa..
Mkuu Pole sana ... Mtoto wa kiume unatapeli 12k? Shawainii bangadesh kimpimpooo.Jamaa nilimpigia simu tukapeana maelekezo then akaniambia gharama ni elfu 12.. Nimtumie ili aweze kupata data za kudownload file/software
Nilipomtumia badala aseme amepata.. Ikawa mpaka nimpigie Mimi.
Nikampigia akasema amepata.. Akaniomba nimtumie picha ya details ya nyuma ya MiFi whatsapp.
Nilipomtumia tu.. Simu ikawa haipatikani tena na wala ile picha haionekani kama ilifika kwake (blue tick)
Na huku jamii forum gafla account yake haionekani kama ipo.. Yaani kama kajitoa..