SILLENT KILLER 2
Member
- Jun 12, 2024
- 28
- 38
Wakuu za majukumu.najua hamjambo,kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nilinunua simu aina digit4g energy kutaka vodacom lakni yenyewe ni smart kitochi.
Sasa simu hii lazima uweke laini ya voda ndo laini ingine isome.kwahiyo nilikuwa naomba kama kuna yeyote anaejua au mtaalamu naomba anisaidie.
Nawasilisha.
Sasa simu hii lazima uweke laini ya voda ndo laini ingine isome.kwahiyo nilikuwa naomba kama kuna yeyote anaejua au mtaalamu naomba anisaidie.
Nawasilisha.