Msaada wa kuotesha nywele kwenye kichwa chenye kipara

Msaada wa kuotesha nywele kwenye kichwa chenye kipara

mawelewele

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
277
Reaction score
135
hakika tatizo hili,limekuwa km ni kawaida kwa vijana wadogo,kutokwa na viparavmiaka ya karibu,tofauti na zamani ambapo MTU akiwa na kipara h uwa na umri Wa 50s,anayefahamu Dawa jamani,hebu njooni kwenye huu Uzi,ili mtoe msaada.
 
Mfollow wine Rooney wa man u sikuhiz sijui yuko team gan!! Akwambie maujanja alivofanya kuondoa uwalaza
 
hakika tatizo hili,limekuwa km ni kawaida kwa vijana wadogo,kutokwa na viparavmiaka ya karibu,tofauti na zamani ambapo MTU akiwa na kipara h uwa na umri Wa 50s,anayefahamu Dawa jamani,hebu njooni kwenye huu Uzi,ili mtoe msaada.
Kuna member humu aliwahi kutoa uzi akadai dawa yake ni vitunguu saumu,kamua maji yake na upake kwenye kipara
 
Back
Top Bottom