Nimeona ndgView attachment 2770482
soma hapo kwenye important dates
Nimeona ndg
Me too I'm waiting for it.Salaam wakuu, ndugu zangu shida yangu ni kupata Admission letter 2023 kutoka chuo Cha UDSM ili nifanye mchakato wa kupata ruhusa ktk kituo changu Cha kazi, nimejaribu kuwasiliana na chuo bila kupata msaada chanya, kama Kuna mwenye ujuzi wa kusaidia jambo hili tafadhali naomba msaada waungwana@
Mkuu umeshaiiona admission letter kwenye account yakoMe too I'm waiting for it.
It will be served on 21st of October.
Ulivodownload admsiion letter na hiyo medical form imekuja maana kwangu haziji?m nilifanikiwa tokea jana baada ya kupata taarifa kupitia account ya the student ya insta
View attachment 2789076
Sijui kwann mzee labda Kuna shida maana joining na registration inakubali ila hiyo admission letter and medical ndo inagomaNa Mimi pia kwangu haifunguki aisee
Sijui kwann mzee labda Kuna shida maana joining na registration inakubali ila hiyo admission letter and medical ndo inagoma
Apo sawa mkuu ngoja nifanye ivyo nioneaaah nimekuelewa shida nini.yan pale kweny admission letter.imeandikwa .pdf.html
sasa cha kufanya we i rename badala ya kua .pdf.html
wewe name .pdf ndo itafunguka wazee kwel kabis
Tayari kaka nimeipataAliefanikiwa kufungua admission letter aniambie maana mi kwangu haiji
Mi bado inagoma kkfanyeni ku rename wazee ionekane kama hi yangu.mwishon kabisa iwe .pdf ili ifunguke vzur
View attachment 2789133
kam m ni rename baada ya kuona haifunguk nikaamua kui rename .pdf then ikafunguka