msaada wa kupata articles zinazohusu madhaif ya labour laws ktk tanzania

binabuu

New Member
Joined
May 29, 2015
Posts
1
Reaction score
0
najarib kufanya tafti juu ya effective applications of newly enacted labor laws in Tz, specifically in public sector ili kuona ni kwa kiasi gani zimefikia malengo ya kutungwa kwake na pia zimeleta msaada gani l
kwa wafanyakazi wa ngazi za chini, kuwepo kwake ni msaada kwao au mzigo, zinafatiliwa kwa ukarib kwenye uteke'ezaji wake au zimeishia kutungwa tu, zinatumika..........?????????
Waungwana naomba muongozo juu ya namna ya kupata machapisho mbalimbali juu ya jambo hili.Asanteni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…