MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
Wanajamvi, natafuta second opinion ya daktari mtaalamu wa spinal na back pain Tanzania. Kama wewe ni daktari au unamfaham daktari au una experience na huu ugonjwa nahitaji contact na ushauri.
Symtoms za mgonjwa ni maumivu makali yakianzia lower part ya mgongo na kushuka mguu mmoja. Maumivu yanapungua mgonjwa anapokuwa amelala au kukaa. Kusimama ni shida na kutembea ndio kabisa tatizo limeanza about two weeks ago (mgonjwa hajaanguka wala hajapata ajali). Amefanyiwa x-ray na kuambiwa kuna disc 'zimesimama' na akawa prescribed sindano (bahati mbaya sina jina la dawa) lakini maumivu bado yapo pale pale.
Nimegoogle basing on symptoms magonjwa aina mbili naona symptoms zinafanana Herniated disk na Spinal Stenosis. Tafadhali kama unamfaham daktari au una ushauri naomba uwasiliane nami kwenye hii thread au unaweza ni PM, thanks.
Symtoms za mgonjwa ni maumivu makali yakianzia lower part ya mgongo na kushuka mguu mmoja. Maumivu yanapungua mgonjwa anapokuwa amelala au kukaa. Kusimama ni shida na kutembea ndio kabisa tatizo limeanza about two weeks ago (mgonjwa hajaanguka wala hajapata ajali). Amefanyiwa x-ray na kuambiwa kuna disc 'zimesimama' na akawa prescribed sindano (bahati mbaya sina jina la dawa) lakini maumivu bado yapo pale pale.
Nimegoogle basing on symptoms magonjwa aina mbili naona symptoms zinafanana Herniated disk na Spinal Stenosis. Tafadhali kama unamfaham daktari au una ushauri naomba uwasiliane nami kwenye hii thread au unaweza ni PM, thanks.