Msaada wa kupata gari kwa milioni 4.5 mpaka milioni 5.5

Msaada wa kupata gari kwa milioni 4.5 mpaka milioni 5.5

Thelionden

Senior Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
165
Reaction score
160
Wakuu habarini za kazi, baada ya kupata ushauri Mzuri wa gari ya kununua ambapo wadau wangi walinishauri nichukue mnyama Carina Ti sasa ninakuja tena na msaada mwingine wa kupata gari hii ambayo itakuwa na hali hii hapa na kwa bei nitakayotaja hapa kwani sina ubavu wa kuagiza.

1. Badi iwe nzima ambayo haijahongwa kuongezea rangi naweza kama itakuwa haijakaa vizuri.
2.engine iwe kwenye hali nzuri (iwe haijafunguliwa) na iwe na uwezo kwa kupiga masafa ya dar- songea.
3.zile warning signs za kwenye dash board ziwe zinafanyakazi zote vizuri.
4.kifupi gari liwe kwenye hali nzuri ya kutumika na sio lenye ugonjwa wa kunitesa.
5. Dau langu ni kuanzia Tsh. 4,500,000/= mpaka Tsh.5,500,000/= kutegemea na ubora wa chombo chenyewe.

Natanguliza shukrani zangu za dhati hasa kwa wadau wenye kujua wapi nitapata msaada au kunisaidia wao direct hasa wanaotumia gari hii na labda wanataka kubadirisha.

Asanteni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utapata kwa hiyo bei na jirani kuwe na garage kabisa usije ukaleta uzi mwingine wapi kuna garage za TI

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
utapata kwa hiyo bei na jirani kuwe na garage kabisa usije ukaleta uzi mwingine wapi kuna garage za TI


Sent from my iPhone using JamiiForums
Si kweli kuna watu wanauza kwa hio bei aliyoitaja mleta mada na wala gari hazina shida yoyote.

Mtoa mada utapata kwa bei yako cha msingi uwe na subira/utafute polepole bila haraka haraka za kuharakishwa na madalali.
 
Si kweli kuna watu wanauza kwa hio bei aliyoitaja mleta mada na wala gari hazina shida yoyote.

Mtoa mada utapata kwa bei yako cha msingi uwe na subira/utafute polepole bila haraka haraka za kuharakishwa na madalali.
Nashukuru mkuu kwa mchango wako na pia kunitia moyo mwenyezi Mungu akubariki sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habarini za kazi, baada ya kupata ushauri Mzuri wa gari ya kununua ambapo wadau wangi walinishauri nichukue mnyama Carina Ti sasa ninakuja tena na msaada mwingine wa kupata gari hii ambayo itakuwa na hali hii hapa na kwa bei nitakayotaja hapa kwani sina ubavu wa kuagiza.
1. Badi iwe nzima ambayo haijahongwa kuongezea rangi naweza kama itakuwa haijakaa vizuri.
2.engine iwe kwenye hali nzuri (iwe haijafunguliwa) na iwe na uwezo kwa kupiga masafa ya dar- songea.
3.zile warning signs za kwenye dash board ziwe zinafanyakazi zote vizuri.
4.kifupi gari liwe kwenye hali nzuri ya kutumika na sio lenye ugonjwa wa kunitesa.
5. Dau langu ni kuanzia Tsh. 4,500,000/= mpaka Tsh.5,500,000/= kutegemea na ubora wa chombo chenyewe.

Natanguliza shukrani zangu za dhati hasa kwa wadau wenye kujua wapi nitapata msaada au kunisaidia wao direct hasa wanaotumia gari hii na labda wanataka kubadirisha.

Asanteni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tembelea ule uzi wa wapenzi wa magari mazuri utapata TI nyingi sana na nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habarini za kazi, baada ya kupata ushauri Mzuri wa gari ya kununua ambapo wadau wangi walinishauri nichukue mnyama Carina Ti sasa ninakuja tena na msaada mwingine wa kupata gari hii ambayo itakuwa na hali hii hapa na kwa bei nitakayotaja hapa kwani sina ubavu wa kuagiza.
1. Badi iwe nzima ambayo haijahongwa kuongezea rangi naweza kama itakuwa haijakaa vizuri.
2.engine iwe kwenye hali nzuri (iwe haijafunguliwa) na iwe na uwezo kwa kupiga masafa ya dar- songea.
3.zile warning signs za kwenye dash board ziwe zinafanyakazi zote vizuri.
4.kifupi gari liwe kwenye hali nzuri ya kutumika na sio lenye ugonjwa wa kunitesa.
5. Dau langu ni kuanzia Tsh. 4,500,000/= mpaka Tsh.5,500,000/= kutegemea na ubora wa chombo chenyewe.

Natanguliza shukrani zangu za dhati hasa kwa wadau wenye kujua wapi nitapata msaada au kunisaidia wao direct hasa wanaotumia gari hii na labda wanataka kubadirisha.

Asanteni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaweza agiza, kwa budget hiyo?
Karibu tukuagizie kwa mkopo

Semsella Enterprises/ecarstanzania
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
 
Kwa hio hela utapata magari yenye 6 Cylinder yaliowashinda wadau kuyahudumia. Mark 2, Verossa ama Brevis yenye hali nzuri kabisa tena namba D.
Gari economical na roho ya paka kama Carina wengi wanaijua uzuri wake. Mtu hawezi kukuuzia kwa bei hio labda umbahatishe mmiliki mwenyewe, ama gari iwe ishaisha sana yani puti kila mahali halafu kibaoni namba A au B! Yani walau 7M unaweza ukaibahatisha ilioko form kabisa ila kinyume na hapo utanunua msiba.
 
Back
Top Bottom