The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Habari wakuu,
Nafuatilia passport uhamiaji. Naomba kujulishwa sehemu ambapo ntapata mwanasheria ambaye atanishughulikia kupata hati ya kiapo (Affidavit). Na gharama yake ikoje. Na kama kuna uuwezekano naomba na contacts zao kwa mawasiliano zaidi.
Asante.
Nafuatilia passport uhamiaji. Naomba kujulishwa sehemu ambapo ntapata mwanasheria ambaye atanishughulikia kupata hati ya kiapo (Affidavit). Na gharama yake ikoje. Na kama kuna uuwezekano naomba na contacts zao kwa mawasiliano zaidi.
Asante.