Msaada wa kupata Hati ya kiapo (Affidavit)

The Giant

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2012
Posts
504
Reaction score
96
Habari wakuu,
Nafuatilia passport uhamiaji. Naomba kujulishwa sehemu ambapo ntapata mwanasheria ambaye atanishughulikia kupata hati ya kiapo (Affidavit). Na gharama yake ikoje. Na kama kuna uuwezekano naomba na contacts zao kwa mawasiliano zaidi.

Asante.
 
navyojua mimi ukienda mahakama zote wanakupa bila shida.mi nishachukua mahakama ya wilaya ilala hapo opposite jengo la UVCCM.
 

Kama bado hujapata kiapo, nitafute PM, nitakuandikia hicho kiapo.
 
Na weee nae, jambo dogo ka hili linakuumiza mtwi
 
Nenda mahakamani wanakupatia kwa gharama ya elfu 5 tuuu au 10 ikizidi sana
 
Inatakiwa itolewe bure kabisa hiyo 500 au 10000 ni maji ya kunywa ya mtoaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…