Kwahiyo unajiona kama hiyo kazi inahitaji kufanywa na wenye akili kuuubwa...[emoji23][emoji23]
Kwa maswali nilio kuuliza bilashaka ulipaswa uwe umepata mahibu kama nina uelewa na hizi vibarua ama lah...[emoji5]
Mkuu sisi ni vijana wapambanaji nimetumia lugha nyepesi kukuelewesha hizi kazi au watu wenye magari wengi ni watu wa kawaida tunaopambania mkate wa kila siku mkuu
1-mwenye gari atafaidika na nn kwa wiki au siku =sasa mm ntajibu nini ikiwa gari sijui lipo kwenye hali gani pia ni private(njano plate number ) au biashara (nyeupe plate number) uko juu nimekifafanulia gari linatakiwa liwe na kadi ya biashara plate namba nyeupe ndio linalo hitajika lkn pia unaweza kufanyia kazi na gari la kawaida binfsi pia ..lkn kwa mchana hutoweza kwa sababu kuna tra wakikukamata msala ila kibongo bongo watu wanakomaa kwaiyo basi tufanye mfano ili iwe rahisi kwako ukanipa ist ya biashara ina latra na bima inamaa imekamilika kila kitu hesabu ni 150000 ikiwa service kwako ila ikiwa service kwangu ni 120000 mpk 130000 kwa wiki hiyo hesabu pia ukinipa gari kama hilo lakini ni binfsi ina maaana ufanyaji wangu wa kazi utakuwa ni kuanzia jioni au mchana asubuhi kwa kuibia ibia kwaiyo sitakuwa huru nalo kufanya kazi mda wato wa siku hesabu inaweza kuwa 130000 service kwako 110000 mpk 100000 service juu yangu ....nadhan hapo tumamaliza
2- kuhusu aina ya gari nimeoa nisha pia hapo juu ndugu yangu gari inayoweza kufanya kazi ya tax mtandaoni hawachukui juu ya ccc1490 na hata ukiwa nayo juu ya hapo itakuwa hasara kwako kwenye mafuta ndio maana wanataka gari yenye ccc ndogo mkuu gari zilizozoeleka kwenye hizo kazi nimezitaja hapo juu sasa mm sijui utafaidika na gari gani kwakuwa sijui wewe unagari gani mkuu nadhan pia umeelewa ..
3-ndio maana inategemea na boss mkuu nimesema pia huku juu kuna mwingine mwaka mzima.mwezi.wiki.au kila siku gari linalala kwake inategemea wengine wanafunga GPS sasa hapo ni utashi wa boss mkuu sijui unanielewa mwingine akikupa gari hana mda na ww anataka hesabu yake mwingine gari linalala kwake sasa sijui ww unatakaje mkuu
4-iyo nishaeleza pia inategemea tajiri anatakaje afanye yeye umeongezee hesabu au ufanye ww akupunguzie hesabu hapo nimeeleweka
5-ilo pia nishajibu huku juu mkuj
6-hapo pia inategemea swala la kumpuzika mara nyingi linakuwa juu ya dereva yeye ndio anajua atapumzika lini na lini anaweza lala wiki nzima na hesabu akakuletea inategemea akichoka na atakavyi jisikia mwili wake kupumzika
7-mdhamin anaweza kuwepo barua za serikali ya mtaa kuandikishiana na vitu kama hivyo pia inategemea na boss mwingine anakupa tu gari kwakuwa ina gps mwingine mpk muandikishiane yeye ndio ataamua njia gani nzuri kwake kwa usalama wa gari lake
NADHANI NIMEJITAHIDI KUKUFAFANULIA MKUU