Wakuu kwema?
Nina imani sote tu wazima.
Nina shida na katiba ya kikundi cha vijana wajasiriamali wakuu msaada wenu tafadhali
Yoyte anaeweza kunisaidia anipe ishara yoyote kwenye koment chini nitamfata inbox
Nb. Ningekuwa na chochote ningebainisha hapa, tusaidiane wakuu