both teams to score-YES
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 974
- 1,876
Habari wakuu,natumai nyote wazima.Nisiwachoshe niende katika mada.
Wakuu Mwenye connection zozote za kibarua au kazi ninaomba wakuu.
Nina hali mbaya sana.ninaishi na mama wakuu kheri nipate chochote kupitia kibarua ili mama ale hata mie nikikosa haina Shida.
Niko Mburahati, Dar es salaam.
Namba zangu ni 0780 594 569😞😞
Wakuu Mwenye connection zozote za kibarua au kazi ninaomba wakuu.
Nina hali mbaya sana.ninaishi na mama wakuu kheri nipate chochote kupitia kibarua ili mama ale hata mie nikikosa haina Shida.
Niko Mburahati, Dar es salaam.
Namba zangu ni 0780 594 569😞😞