Wisdom Flag
Member
- Oct 16, 2018
- 28
- 18
Kioo chake ndio Bei ya hiyo simu.Wakuu habari zenu,ni matumaini yangu mnaendelea vizuru Mungu atupe uzime hili janga lipite
Nina simu yangu ya Samsung Galaxy S7 edge imepasuka kioo Kam kun mtu yeyote anayeweza nisaidia kupata kioo Cha mkononi maana dukani kina Bei
NAOMBENI MSAADA WENU WADAU NA MAFUNDI simu
Hawa mafundi wanataka kujenga kupitia sisi!Mm natafuta Samsung S5 kikwetu kwetu naambiwa laki mbili na nusu
Mm natafuta Samsung S5 kikwetu kwetu naambiwa laki mbili na nusu
Saw mkuu
asee sio poaHaya mtoa mada kazi kwako.View attachment 1399370View attachment 1399371View attachment 1399372
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi simu pasua kichwa sana basi tu.Haya mtoa mada kazi kwako.View attachment 1399370View attachment 1399371View attachment 1399372
Sent using Jamii Forums mobile app