Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,404
Salamu Wajumbe.
Kuna muvi ya Kiswahili niliwahi kuitazama miaka ya 2009/10 ya vijana wawili, mmoja wa kike mmoja wa kiume ambao walikuwa wanaishi msituni na wazazi wao ambao walifukuzwa kwa uchawi kijijini.
Wao walizaliwa hukohuko porini na baadae wazazi wakafa hvyo katika tembea zao wakaibukia kijijini...wakapata walezi wakasoma mwanaume alifanikiwa sana kielimu ila dada yake alipata mimba wakati anasoma.
Baadae dada yake akaja kumuua kaka ake kwa ushauri wa mumewe.
Aisee mwenye uwezo wa kunipatia hii muvi msaada wenu wajumbe
Kuna muvi ya Kiswahili niliwahi kuitazama miaka ya 2009/10 ya vijana wawili, mmoja wa kike mmoja wa kiume ambao walikuwa wanaishi msituni na wazazi wao ambao walifukuzwa kwa uchawi kijijini.
Wao walizaliwa hukohuko porini na baadae wazazi wakafa hvyo katika tembea zao wakaibukia kijijini...wakapata walezi wakasoma mwanaume alifanikiwa sana kielimu ila dada yake alipata mimba wakati anasoma.
Baadae dada yake akaja kumuua kaka ake kwa ushauri wa mumewe.
Aisee mwenye uwezo wa kunipatia hii muvi msaada wenu wajumbe