Msaada wa kupata nafasi duce/udsm

Msaada wa kupata nafasi duce/udsm

kiokote3

Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
20
Reaction score
3
Nahitaji kubadili chuo nipate DUCE/UDSM, mwenye uelewa wa wapi nianzi au niende ofisi gani ktk vyuo hivyo naomba aniambie. Asante
 
Hakuna uwezekano huo kwa sasa. Zilikuwepo nafasi za wale wa Private lakini deadline imeshapita. Kiufpi komaa tu huko ulikopangiwa au ahirisha ili uombe DUCE/UDSM mwakani ila lazima uwe na at least C na D kwa masomo mawili
 
Kama kungekuwa na chance ungeenda chuoni then uandike barua ya kuomba nafasi, wangekupa barua ya kuwa wana-nafasi then uipeleke tcu kwa ajiri ya transfer.
 
Hapo kaka we komaa hukohuko walikokupangia maana tcu wanabana sana transfers coz kama ukupenda ulikopangiwa why uliomba kwenye selection za vyuo ulivyoomba
 
Back
Top Bottom