Hakuna uwezekano huo kwa sasa. Zilikuwepo nafasi za wale wa Private lakini deadline imeshapita. Kiufpi komaa tu huko ulikopangiwa au ahirisha ili uombe DUCE/UDSM mwakani ila lazima uwe na at least C na D kwa masomo mawili
Kama kungekuwa na chance ungeenda chuoni then uandike barua ya kuomba nafasi, wangekupa barua ya kuwa wana-nafasi then uipeleke tcu kwa ajiri ya transfer.
Hapo kaka we komaa hukohuko walikokupangia maana tcu wanabana sana transfers coz kama ukupenda ulikopangiwa why uliomba kwenye selection za vyuo ulivyoomba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.