Msaada wa kupata risiti ya EFD kama original imepotea

Msaada wa kupata risiti ya EFD kama original imepotea

bigpack1982

Member
Joined
Apr 20, 2011
Posts
75
Reaction score
20
Habarini za mchana waungwana,

Wiki iliyopita nilifanya manunuzi ya bidhaa na nikapewa risiti kutoka katika EFD Machine. Sasa risiti ile nitakuwa nime i missplace sehemu, haionekani (Imepotea may be). Risiti hiyo ni muhimu kwa ajli ya records zangu.

Je, nitawezaje kupata copy ya risiti ya manunuzi hayo? Nilirudi kwenye lile duka wakaniambia hawawezi kutoa tena sababu itaonekana ni mamunuzi mapya na hivyo itakuwa hasara kwao (which makes sense).

Msaada tafadhalini
 
Mkuu........ngoja nione kwanza wengine watasema nini then nitakurudia............
 
si uandike kwenye karatasi kama ni kumbukumbu ... au haujiamini au unataka tax rerurn
 
Habarini za mchana waungwana,

Wiki iliyopita nilifanya manunuzi ya bidhaa na nikapewa risiti kutoka katika EFD Machine. Sasa risiti ile nitakuwa nime i missplace sehemu, haionekani (Imepotea may be). Risiti hiyo ni muhimu kwa ajli ya records zangu.

Je, nitawezaje kupata copy ya risiti ya manunuzi hayo? Nilirudi kwenye lile duka wakaniambia hawawezi kutoa tena sababu itaonekana ni mamunuzi mapya na hivyo itakuwa hasara kwao (which makes sense).

Msaada tafadhalini
mkuu ulifanikiwa? nimepoteza risiti ya efd na inabid kuwekwa kwenye records kiofisi
 
mkuu ulifanikiwa? nimepoteza risiti ya efd na inabid kuwekwa kwenye records kiofisi
Andika barua TRA wakusaidie kuitrack kama unakumbuka amount na range ya tarehe ilipokuwa issued
 
mkuu ulifanikiwa? nimepoteza risiti ya efd na inabid kuwekwa kwenye records kiofisi
Inawezekana hilo, kupata duplicate ya risit hy kutoka kwa mfanyabiashara hy aliekuuzia bidhaa. Muhimu inatakiwa ujue:
1. Tarehe gani ulipata hy risiti
2. Aina ya mashine ya EFD then
3. Kuna hatua za kutoa risit hy, naweza fanya hilo
 
Inawezekana hilo, kupata duplicate ya risit hy kutoka kwa mfanyabiashara hy aliekuuzia bidhaa. Muhimu inatakiwa ujue:
1. Tarehe gani ulipata hy risiti
2. Aina ya mashine ya EFD then
3. Kuna hatua za kutoa risit hy, naweza fanya hilo
siku nyingine nitakutafuta Kwa msaada, nilirud kwenye Duka nililonunua nikaomba Anipe risit ingine nikapilia makato tu
 
Back
Top Bottom