Msaada wa kupata sheria ya kupangiwa majukumu

kilama

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
2,745
Reaction score
1,989
Wadau habarini za mchana naomba kupata sheria inayozungumzia kupewa barua ya majukumu ya kazi pale unapoteuliwa kusimamia majukumu flani kwa mfano umeteuliwa kuwa mtaaluma mana nasikia ni lazima unapomteua mtu kwa majukumu flani ni lazima apewe barua ya utambulisho wa majukumu.
Asanteni na ninategemea kupata msaada kutoka kwenu wadau.
 
Kama ukikosa hiyo sheria kwa wakati chukua standing order ina kila kitu!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…