Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda fb mtafute kwa ku like page yake Dr boazi mkumbo MD wala hutapata shida ya kupungua Mimi ni muhanga Nilikuwa na 97kg mpaka sasa nini 78 kgHabari wana jf. Naomba mwenyekujua naweza kupata wapi vidonge vya phertamine kwa Tanzania ama dukagani la dawa maana wameniambia inapungiza uzito ila lazima upate prescription ya daktari ambayo Kwangu sio kazi naandikiwa tu ila pakuzipata. Msaada plz
Kumeze hizi dawa ni sawa tu na metforming,,, sasa why usifanye tu diet ??? Mana hizo dawa bila kufanya diet ni kazi bureHabari wana jf. Naomba mwenyekujua naweza kupata wapi vidonge vya phertamine kwa Tanzania ama dukagani la dawa maana wameniambia inapungiza uzito ila lazima upate prescription ya daktari ambayo Kwangu sio kazi naandikiwa tu ila pakuzipata. Msaada plz
Nenda fb mtafute kwa ku like page yake Dr boazi mkumbo MD wala hutapata shida ya kupungua Mimi ni muhanga Nilikuwa na 97kg mpaka sasa nini 78 kg