vidodi JF-Expert Member Joined Sep 4, 2014 Posts 361 Reaction score 125 Mar 1, 2016 #1 Naomba kuuliza kushare chupa ya soda au bia na mtu ambaye juzi nliambiwa anaweza akawa na HIV inaweza leta Maambukizi!!! Msaada
Naomba kuuliza kushare chupa ya soda au bia na mtu ambaye juzi nliambiwa anaweza akawa na HIV inaweza leta Maambukizi!!! Msaada
vidodi JF-Expert Member Joined Sep 4, 2014 Posts 361 Reaction score 125 Mar 1, 2016 Thread starter #3 Asante nashukuru
M Mpucha JF-Expert Member Joined Jun 11, 2012 Posts 1,232 Reaction score 1,592 Mar 1, 2016 #4 Vipi ulifanya kwa kukusudia au ulikua kujajua kuwa ana HIV, ila nijuavyo mimi vijidudu vya ukumwi hufa muda mfupi tu iwapo vitakua kwenye mazingira ambayo sio muafaka kwao. Mfano hizi saloon za kunyoa nina hakika hawa wadudu wangeua wengi
Vipi ulifanya kwa kukusudia au ulikua kujajua kuwa ana HIV, ila nijuavyo mimi vijidudu vya ukumwi hufa muda mfupi tu iwapo vitakua kwenye mazingira ambayo sio muafaka kwao. Mfano hizi saloon za kunyoa nina hakika hawa wadudu wangeua wengi
vidodi JF-Expert Member Joined Sep 4, 2014 Posts 361 Reaction score 125 Mar 1, 2016 Thread starter #5 Nlikuwa sijajua kaka ndo maana