Msaada wa kushare chupa ya soda au bia

vidodi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2014
Posts
361
Reaction score
125
Naomba kuuliza kushare chupa ya soda au bia na mtu ambaye juzi nliambiwa anaweza akawa na HIV inaweza leta Maambukizi!!! Msaada
 
Vipi ulifanya kwa kukusudia au ulikua kujajua kuwa ana HIV, ila nijuavyo mimi vijidudu vya ukumwi hufa muda mfupi tu iwapo vitakua kwenye mazingira ambayo sio muafaka kwao. Mfano hizi saloon za kunyoa nina hakika hawa wadudu wangeua wengi
 
Nlikuwa sijajua kaka ndo maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…