unaenda kuonyesha maonyesho gani?wakuu naomba kujuwa ni hatua zipi natakiwa kufuata ili kuweza kushiriki katika maonyesho ya nanenane yaan taratibu za kupata banda nk. nianzie wapi, na kama unajua gharama zake naomba nijuze. ahsant
Tuna kampuni yetu mpya inajihusisha na masuala ya kilimo (Esokoni) inahusika kuunganisha wakulima na wanunaji yaan Masoko. So tunaenda kutangaza huduma zetu.
Aisee umetoa point
Mkuu samahani in advance najua nitakukwaza....,
kwahio kampuni yenu inadeal na information..., yaani mpo vizuri kwenye kujua masoko yapo wapi na wateja wapo wapi.., kwenu information ndio kila kitu..., sasa mkuu hata kama taratibu za kupata banda n.k. ni mgogoro huoni huu sio mwanzo mzuri.., au mtakuwa ni platform tu wakulima wanakuja wenyewe na wateja wenyewe wanakutana na kufanya yao nyie mnakula commission ?
Ahsante sana mkuu huu ni mtandao ambao unakutanisha wakulima na wanunuaji not kwamba tunataftia wakulima masoko yaan kwamba lenyewe ndio soko. Wewe mnunuaji utakutana na muuzaji kupitia forums na hiyo ni free. Utakuja na bidhaa yako utaweka na mwingine atakuja na ofa yake mtajadili mfanye biashara huko. So kwa ufupi ni kwamba sisi sio wa kukutaftia soko ila tunakutengenezea soko. Nadahani umenipata mkuu..nakusikilizaMkuu samahani in advance najua nitakukwaza....,
kwahio kampuni yenu inadeal na information..., yaani mpo vizuri kwenye kujua masoko yapo wapi na wateja wapo wapi.., kwenu information ndio kila kitu..., sasa mkuu hata kama taratibu za kupata banda n.k. ni mgogoro huoni huu sio mwanzo mzuri.., au mtakuwa ni platform tu wakulima wanakuja wenyewe na wateja wenyewe wanakutana na kufanya yao nyie mnakula commission ?
well and good.., kwahio nyie ni platform.., challenge kubwa ni utapeli mtahakikisha vipi au mtawahakikishia vipi wale wanaokuja hapo kwamba deals zitakuwa genuine na sio kuuziana mbuzi kwenye gunia...Ahsante sna
Ahsante sana mkuu huu ni mtandao ambao unakutanisha wakulima na wanunuaji not kwamba tunataftia wakulima masoko yaan kwamba lenyewe ndio soko. Wewe mnunuaji utakutana na muuzaji kupitia forums na hiyo ni free. Utakuja na bidhaa yako utaweka na mwingine atakuja na ofa yake mtajadili mfanye biashara huko. So kwa ufupi ni kwamba sisi sio wa kukutaftia soko ila tunakutengenezea soko. Nadahani umenipata mkuu..nakusikiliza
well and good.., kwahio nyie ni platform.., challenge kubwa ni utapeli mtahakikisha vipi au mtawahakikishia vipi wale wanaokuja hapo kwamba deals zitakuwa genuine na sio kuuziana mbuzi kwenye gunia...
Kwa ushauri bora msifanye deals free bali kwa ujira ila kuwe na guarantee ya mtu kupata mzigo na sio kutapeliwa, au kupata uhakika wa quality ya mali mnaweza kufanya hivyo kwa kufanya due diligence kwa kila mnunuzi na muuzaji, pia wale wauzaji na wanunuzi wenye history nzuri kuwa certified.., unless otherwise itakuwa ni makutano ya wapigaji...