Msaada wa kusoma kozi ya taaluma ya saikolojia

Wisest man

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
993
Reaction score
332
Habari wakuu! Kuna mtoto wa rafiki yangu anataka kusoma kozi tajwa kwa level ya certificate au diploma kwa hiyo nauliza kuhusu vigezo vya kusomea taaluma niliyoitaja hapo juu, na chuo gani binafsi kinachotoa kozi hiyo? je ni lazima awe alisoma masomo ya science alipokuwa o-level?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…