0767854945
Member
- Jul 5, 2013
- 74
- 2
jamani nawaombeni sana nimeomba kusoma afya ya diploma ya clinical officer serikalini sina uhakika kama watanichagua maana ni c ya ph,b ya chem na d ya bios pia b ya math na d ya eng.wasiwasi wangu ni juu ya somo la msingi la bios ambapo nina d,hivyo naombeni msaada wa vyuo vingine vinavyotoa diploma ya CO